Up

 

 

     

                  Oman na Zanzibar

 

Baadhi ya Picha zinaonesha historia ya uhusiano wa Zanzibar na Oman.

 



  •  Majahazi yameunganisha ndugu katika hizi nchi mbili sikuzote.

       

 

  •  Majahazi yalikuwa ya ukubwa mbalimbali, historia yake ni ya zamani sana kuweza kuelezea. Yanasemekana kuwa ni ya zamani kuliko mtu anavyoweza kuamini.  

        

 

  •  Masultani wa zamani waliyaheshimu. Kwa mfano kuna ngome iliyojengwa katika kina kirefu cha maji  katika muundo wa jahazi kwa ajili ya familia ya Sultan.

        

 

  •  Yalikuja mamia kwa mamia kutokea Oman na kutoka maeneo mengine ya kiarabu.

                         

 

  •  Wakati wa msimu wa biashara sehemu kubwa ya mji ilishiriki katika shughuli hiyo kwa namna fulani.

      

 

  •  Baadaye wafanyabiashara kutoka mataifa mengine wakaja.

 

    

 

  •  Ya faida kubwa biashara hii ilikuwa kiasi kwamba wafanyabiashara kutoka nchi za magharibi walizipa meli zao majina ya washirika wao wa kibiashara.

 

                 

   

  •  Uongozi wa Oman na Zanzibar ulianza kujitenga.

 

                     

 

  •  Familia ya mtawala ilionesha msimamo.

       

 

  •  Mshikamano

            

 

  •  Utajiri

 

             

 

                                               

  •  na Uongozi

                  

 

  •  Hiyo iliyowahi kuwa himaya... hivi sasa ni kumbukumbu tu.

 

      

 

  •  Uzuri wa enzi hizo zilizopita.

 

        

 

 

  •  hivi sasa waleta faraja kwa wale tu wakumbukao.

 

                                    

 



                        na Barghash 2002 haki zote zimehifadhiwa.

                   Imetafsiriwa na Mwalimu George Mwidima gmwidima@yahoo.com

                                                       Hit Counter


Up Wazanzibarr_Maarufu.htm WAPIGA PICHA WA KIHISTORIA WA ZANZIBAR Zanzibar Maridhawa Michoro ya Kale ya Zanzibar WANAWAKE WA ZANZIBAR Ujasiri wa Zanzibar Misikiti ya Zanzibar Oman na Zanzibar WAGOA_na_zanzibar WAKRISTO WA ZANZIBAR Sherehe ya Miaka 25 ya mwaka 193