




























| |
Oman na Zanzibar
Baadhi ya Picha
zinaonesha historia ya uhusiano wa Zanzibar na Oman.
- Majahazi yameunganisha ndugu katika hizi nchi mbili sikuzote.

- Majahazi yalikuwa ya ukubwa
mbalimbali, historia yake ni ya zamani sana kuweza kuelezea. Yanasemekana kuwa
ni ya zamani kuliko mtu anavyoweza kuamini.

- Masultani wa zamani waliyaheshimu. Kwa mfano kuna ngome iliyojengwa
katika kina kirefu cha maji katika muundo wa jahazi kwa ajili ya familia ya
Sultan.

- Yalikuja mamia kwa mamia kutokea Oman na kutoka maeneo mengine ya
kiarabu.

- Wakati wa msimu wa biashara sehemu kubwa ya mji ilishiriki katika
shughuli hiyo kwa namna fulani.

- Baadaye wafanyabiashara kutoka mataifa mengine wakaja.

- Ya faida kubwa biashara hii ilikuwa kiasi kwamba wafanyabiashara
kutoka nchi za magharibi walizipa meli zao majina ya washirika wao wa
kibiashara.
- Uongozi wa Oman na Zanzibar ulianza kujitenga.

- Familia ya mtawala ilionesha msimamo.




- Hiyo iliyowahi kuwa himaya... hivi sasa ni kumbukumbu tu.

- Uzuri wa enzi hizo zilizopita.

- hivi sasa waleta faraja kwa wale tu wakumbukao.

na Barghash 2002 haki zote zimehifadhiwa.
Imetafsiriwa na Mwalimu George Mwidima
gmwidima@yahoo.com

 |